Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

IGP Sirro amuondoa RPC wa Mwanza

Jumatano , 15th Aug , 2018

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, leo Agosti 15, 2018 amefanya mabadiliko madogo kwa kuwahamisha makamanda wa Polisi katika mikoa ya Mwanza na Pwani.

IGP Simon Sirro

Katika mabadiliko hayo IGP Sirro, amemuondoa aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza Kamishna msaidizi wa Polisi (DCP) Ahmed Msangi na kumhamishia makao makuu ya upelelezi Dar es salaam kuwa mkuu wa kitengo cha makosa dhidi ya Binadamu.

Nafasi yake imechukuliwa na Kamishna msaidizi wa Polisi (ACP) Jonathan Shana aliyekuwa kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani.

Aliyekuwa RPC wa Mwanza Ahmed Msangi.

Kwa upande mwingine Sirro amemteua Kamishna msaidizi wa Polisi (ACP) Wankyo Nyigesa ambaye alikuwa Mkuu wa Operesheni kanda maalum ya Dar es salaam kuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani akichukua nafasi ya Jonathan Shana.

Taarifa ya Jeshi la Polisi imeeleza kuwa mabadiliko haya ni kawaida na yanalenga kuongeza ufanisi na utendaji kazi ndani ya jeshi hilo.
 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi