Picha ya Jamar Bailey
Jamar alitumia mtandao wa Google kuuliza namna ya kuua mtoto kwa kumnywesha sumu ambapo baada ya kupima haja ndogo wataalamu wa afya waligundua kuwa alinyweshwa ‘Sodium Valporate’ dawa zinazotumika kutibu ugonjwa wa kifafa na Maradhi ya hisia (Bipolar) ambazo zinauweza wa kumuuwa mtoto mchanga.