Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jeshi la Polisi, NEC watoa onyo uchaguzi wa kesho

Jumamosi , 11th Aug , 2018

Jeshi la polisi mkoani Mtwara limewaonya wanasiasa wanaofanya mikusanyiko isiyo halali kwa madai ya kulinda kura katika uchaguzi mdogo unaotegemewa kufanyika kesho Jumapili huku lilikitoa wito kwa wananchi kujitokeza kutekeleza haki yao ya kidemokrasia na kumchagua kiongozi wanayemtaka.

Kamanda wa polisi mkoa wa Mtwara, Lucas Mkondya.

Akizungumza leo Agosti 8 Kamanda wa polisi mkoa wa Mtwara, Lucas Mkondya amesema jeshi hilo limejipanga na lina askari wa kutosha kutuliza ghasia katika Uchaguzi wa madiwani na ubunge kesho .

Tutatakuwa na askari wengi sana katika vituo vyote vinavyotarajiwa kupigwa kura, kwa hiyo mtu yeyote asijipe jukumu hilo, hivyo vyama vinavyojipanga kutekeleza jukumu la polisi hatujaomba msaada sisi,” amesema

Kwa upande wao tume ya taifa ya uchaguzi(NEC), imeridhia kufanyika kwa uchaguzi mdogo wa Ubunge jimbo la Buyungu na madiwani Tanzania bara baada ya kuridhika na uendeshaji wa kampeni kwa vyama mbalimbali ambazo zinamalizika rasmi hii leo.

Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa tume ya taifa ya uchaguzi Jaji Semistocles Kaijage, wakati akitoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu kufanyika kwa uchaguzi huo hapo kesho huku akibainisha kuwa maandalizo yote yamekamilika.

Jaji Kaijage amesema kuwa jumla ya mikoa 19 na halmashauri 29 zitashiriki uchaguzi huo katika maeneo ambayo mpaka sasa hayana viongozi huku wananchi 485,203 wamejiandikisha katika maeneo hayo yanayofanya uchaguzi huku kati ya hao wapiga kura 61,680 ndio watakaopiga kura katika jimbo la Buyungu.

 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke