Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jinsi Mawaziri 3 walivyoongoza Mambo ya Ndani

Jumatatu , 27th Jan , 2020

Januari 23, 2020, tulishuhudia Rais Magufuli akimteua Mbunge wa Kibakwe, George Simbachawene, kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, baada ya kumtumbua aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo na Mbunge wa Mwibara Kangi Lugola.

Mawaziri wa Mambo ya Ndani

EATV na EA radio Digital, imekuletea baadhi ya Mawaziri wa Mambo ya Ndani, ambao wamebahatika kufanya kazi ndani ya Serikali ya awamu ya tano.

Wakati Rais Magufuli anaunda Baraza la Mawaziri kwa mara ya kwanza, alimteua Mbunge wa Misungwi Charles Kitwanga kuongoza Wizara hiyo kuanzia 2015 hadi 2016, lakini baadaye alienguliwa kutokana na kosa la kuingia bungeni akiwa amelewa.

Juni 11, 2016, Rais Magufuli alimteua Mbunge wa Iramba, Mwigulu Nchemba kushika nafasi hiyo ya Charles Kitwanga, akitokea Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuanzia 2016 hadi 2018.

Julai 2018 Rais Magufuli alimuondoa Mwigulu Nchemba katika Wizara ya Mambo ya Ndani, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kuongezeka kwa ajali za barabarani.

Baada ya kumuengua Mwigulu Nchemba , Rais Magufuli alimteua Kangi Lugola ambaye alihudumu kwenye nafasi hiyo hadi Januari 23, 2020, na alimuondoa kwa sababu ya kusaini mkataba wa zaidi Trilioni moja.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa