Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

JK awahakikisha wananchi uchaguzi huru na amani

Ijumaa , 23rd Oct , 2015

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amewahikikishia watanzania kuwa uchaguzi utakuwa huru na wa amani na wasiwe na hofu huku akiwaonya wenye lengo la kufanya vurugu na kusema hatua kali zitachukuliwa dhidi yao.

Rais Kikwete ametoa kauli hiyo katika wakati wa hitimisho la kampeni za Chama cha Mapinduzi visiwani Zanzibar eneo la Chakechake, Pemba katika uwanja wa bombani ya kale na kusema wananchi wajitokeze kwa wingi Oktoba 25 kupiga kura.

Aidha Rais Kikwete amewahakikishia usalama wananchi na kusema kuwa utalindwa na kuangaliwa kwa umakini kwa kuwa tayari jeshi la polisi limejipanga vya kutosha kuhakikisha uchaguzi unaisha kwa amani na utulivu.

Kwa upande wake mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi Visiwani humo Dkt. Ali Mohammed Shein amesisitiza kuwepo kwa uchaguzi wa amani visiwani humo na kuongeza kuwa yale yote aliyoahidi basi yatatekelezwa katika kipindi chake.

Naye mgombea mwenza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupita chama hicho Bi. Samia Suluhu amewataka vijana wasidanganyike na maneno ya wanasiasa ambayo yatawafanya kuvuruga amani.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali