Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Joshua Nassari avuliwa Ubunge

Alhamisi , 14th Mar , 2019

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai, amemuandikia barua Mwenyekiti wa Tume ya taifa ya uchaguzi Jaji Semistocles Kaijage, kumtaarifu kuwa Jimbo la Arumeru Mashariki lililokuwa likiongozwa na Joshua Nassari liko wazi.

Joshua Nassari.

Kupitia taarifa iliyotolewa na ofisi ya ya Bunge kitengo cha mawasiliano na uhusiano wa Kimataifa, imesema kuwa Nassari amepoteza sifa za kuwa Mbunge kutokana na kitendo cha kutohudhuria vikao vitatu vya Mikutano ya Bunge.

"Uamuzi huo wa Spika umezingatia Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ibara ya 71 (1)(c). Ibara hiyo inaeleza kuwa, Mbunge atakoma kuwa Mbunge au ataacha kiti chake Katika Bunge ikiwa atakosa kuhudhuria vikao vya Mikutano ya Bunge mitatu mfululizo bila ruhusa ya Spika", imesema taarifa hiyo.

Vikao vilivyomponza Nassari

Nassari hajahuduhuria Mkutano wa kumi na mbili wa tarehe 4 hadi 14 Septemba 2018, mkutano wa kumi na tatu wa tarehe 6-16 Novemba 2018 na mkutano wa kumi na nne wa tarehe 29 Januari hadi 9 February 2019.Nassari akiwa kwenye moja ya kikao na viongozi wa CHADEMA jimboni kwake

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi