Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Joto la uchaguzi litakuwa kubwa sana'' - Samson

Alhamisi , 6th Aug , 2020

Rais Dkt. John  Magufuli leo Agosti 6, 2020, amefika katika ofisi za NEC na kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya urais wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kuchaguliwa na chama cha mapinduzi  CCM kuwania nafasi hiyo.

Rais Magufuli na Mgombea Mwenza Samia Suluhu wakichukua fomu

Rais Magufuli anakuwa ni mgombea wanne kuchukua fomu ambapo kwa siku ya jana wagombea kutoka vyama vya  AAFP, DP na NRA walifika katika ofisi za NEC wakiwa na wagombea wenza kwa ajili ya kukamilisha zoezi hilo.

Kwa mujibu wa  Mchambuzi Mkuu  wa Siasa Samson Charles kutoka East Africa Television na East Africa Radio, ametoa maoni yake katika kipindi cha The Drive Show kinachoruka kila siku za wiki kuanzia Saa 10:00 Jioni hadi Saa 2:00 Usiku, ambapo amedai kuwa kwa mwaka huu joto la kisiasa linakolea na kuna ushindani mkubwa ambapo hadi sasa vyama vingine bado vinaendelea na vikao, na kwa upande wa CHADEMA mgombea wao atachukua fomu siku ya Agosti 8.

“Joto la uchaguzi linakolea kabla hata kampeni hazijaanza tarehe 26 mwezi huu, uchukuaji fomu umeanza rasmi siku ya jana  na utakwenda hadi tarehe 25 mwezi huu,nimezungumza na vyama vingine bado wako kwenye vikao, huenda tukawa na uchaguzi wenye ushindani mkubwa labda kuliko watu walivyokuwa wakitegemea”. Amesema Samson Charles

Tafiti zinaonesha watu waliojiandikisha katika daftari la kudumu la kupiga kura ni zaidi ya watu milioni 23 kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi na vyama ambavyo vitashiriki uchaguzi huo ni 19.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali