Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

JPM afanya mapinduzi ya elimu

Jumatatu , 22nd Mei , 2017

Rais Magufuli ametajwa kuwa rais wa kwanza mwenye nia ya dhati ya kuleta maendeleo makubwa katika sekta ya elimu nchini baada ya kuruhusu serikali yake kutumia zaidi ya shilingi bilioni 18 kila mwezi kugharimia elimu ya msingi na sekondari

Hayo yamebainishwa na baadhi ya wazazi wa shule sita za msingi katika kata ya Ihyela, Mbeya baada ya kukusanyika kwa ajili ya kuwapongeza wanafunzi 10 wa darasa la saba ambao wamefanya vizuri mtihani maalum wa majaribio wa maandalizi ya mtihani wa taifa unaotarajiwa kufanyika miezi michache ijayo.

Akizungumza kwa niaba ya walimu, Mratibu wa elimu kata ya www.buy-trusted-tablets.com Ihyela Dickson Sinkwembe, ameahidi kuwa walimu watahakikisha wanafunzi 10 ambao wamefanya vyema mtihani huo wa maandalizi, wanapata matokeo mazuri kwenye mtihani wa taifa na kuiletea heshima kata hiyo, huku akiwataka wazazi kutoa ushirikiano wa kutosha kwa walimu.

Pamoja na hayo, mdau wa elimu katika kata hiyo, Bw. Ndele Mwanselela amewapatia zawadi wanafunzi hao ya fedha taslimu huku akiwataka wananchi kumuunga mkono Rais JPM kutokana na uamuzi wa serikali yake kutumia zaidi ya Shilingi bilioni 18 kila mwezi kwa ajili ya kugharamia elimu.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa