Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

JPM awaongoza watanzania siku ya Mashujaa

Jumanne , 25th Jul , 2017

Rais John Magufguli, leo Julai 25, amewaongoza watanzania kwa ujumla, ikiwa pamoja na wananchi wa Singida  waliohudhuria uzinduzi wa barabara ya Manyoni, kuwakumbuka mashujaa wa taifa hili waliopambana katika vita mbalimbali ikiwemo vita ya Kagera.

Dkt. Magufuli aliwataka watu waliohudhuria mkutano huo wa hadhara kusimama kwa dakika moja ili kutoa heshima kwa mashujaa hao kwakuwa leo ni siku ya mashujaa ambayo huadhimishwa kila ifikapo Julai 25.

Kupitia hadhara hiyo Magufuli amevipongeza vikosi vyote vya majeshi ya ulinzi na usalama nchini kwa kazi kubwa wanayofanya, kuilinda nchi na kuifanya kuwa tulivu kiasi cha kuwavutia watu wengine kukimbilia kujiunga na vikosi vya jeshi.

Katika hatua nyingine Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ) limeadhimisha Siku ya Mashujaa kwa kutoa huduma za afya, kuchangia damu na kufanya usafi wa mazingira katika maeneo mbalimbali nchini katika kuwakumbuka na kuwaenzi waliopoteza maisha wakishiriki vita mbalimbali kutetea nchi yao.

Akizungumza na vyombo vya Habari katika viwanja vya Mnazi Mmoja leo Jijini Dar es Salaam, ambako maadhimisho hayo yamefanyika kimkoa, Mkuu wa Majeshi nchini Jenerali Venance Mabeyo amesema, "huduma za jamii zilizotolewa hii leo zinalenga kusogeza jeshi hilo karibu zaidi na wananchi wake sambamba na kuhakikisha mahitaji muhimu ya kiafya hususani upatikanaji wa damu salama ni uhakika".
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali