Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kabudi awapa neno waliobeza sheria za madini

Jumanne , 19th Jan , 2021

Waziri wa Mambo ya nje Dkt. Palamagamba Kabudi awapa neno wale wote wasiotakia mema na waliokuwa wanabeza  mabadiliko ya sheria katika sekta ya madini kwamba yatafukuza wawekezaji.

Waziri wa Mambo ya nje Dkt. Palamagamba Kabudi

Akizungumza katika hafla ya  utiaji saini wa mkataba kati ya serikali na Lz Nickel Limited mkoani Kagera , Kabudi amempongeza Rais wa Jamhuri wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli kwa ujasiri na msiamamo wake thabiti.
 
"Wale wasiotutakia mema walitutisha kwamba sasa tumefukuza wawekezaji wa madini nchini Tanzania, na kwa kweli bila ujasiri wako na msimamo wako thabiti tungeyumba, lakini leo namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwamba amefanya  wale wote waliotu zoza kwamba sheria hizi na msimamo huu utatufukuzia wawekezaji, leo tumepokea wawekezaji wakubwa katika madini adimu duniani" amesema Kabudi.

Aidha Dkt.Kabudi amesema kuwa sheria hizo kwenye madini zimeleta mageuzi na sura mpya katika umiliki, ulinzi, usimamiaji, utawala na matumizi ya utajiri na rasilimali asilia za nchi na umeleta mwanga wa matumaini kwa mchango na faidi zinazotarajia kwa maendeleo ya wananchi na taifa kwa ujumla.

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali