Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

KAGERA: Adaiwa kumchinja mwanaye wa kambo

Jumatatu , 10th Aug , 2020

Jeshi la Polisi mkoani Kagera linamshikilia Ayoub John mwenye umri wa miaka 38, Mvuvi katika Kisiwa cha Chakazimbwe wilayani Muleba, kwa tuhuma za kumuua kwa kumchinja mtoto wake wa kambo mwenye umri wa miaka mitatu.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Revocatus Malimi.

Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, Kamanda wa Polisi mkoani Kagera Revocatus Malimi, amesema kuwa mtoto huyo wa kiume Aidan Greyson alichinjwa na Baba yake wa kambo usiku baada ya kutokea ugomvi baina ya wanandoa hao, uliosababisha mama wa mtoto huyo Mektirida Nestory mwenye umri wa miaka 27 kukimbia kwa kuhofia maisha yake na kuacha mtoto ndani.

Aidha kamanda huyo amesema kuwa Jeshi hilo linawasaka watu watatu kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya Rwegoshora Leonce mwenye umri wa miaka 55 kwa kumpiga na silaha za jadi, ikiwamo fimbo baada ya kumtuhumu kuiba mkungu mmoja wa ndizi wenye thamani ya shilingi 5,000 kutoka katika shamba la Nassib Abdalah, mkazi wa kitongoji cha Kakiri, Kijiji cha Kijongo, Bukoba vijijini.
 

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ