Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Kama mimi nakukera tafuta mwingine" - IGP Sirro

Jumatano , 25th Mei , 2022

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, amesema miongoni mwa matukio machache yanayowasumbua ni mauaji yanayotokana na hasira pamoja na wivu wa mapenzi na kusisitiza watu kama wamechokana ni heri wakaachana kuliko mmoja wao kumtoa uhai mwenzake.

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro

Kauli hiyo ameitoa akiwa Katumba Halmashauri ya wilaya ya Nsimbo mkoani Katavi, wakati akizungumza na wananchi wa eneo hilo na kuwaomba viongozi wa dini kuendelea kutoa elimu kwa waumini wao ili kuweza kuepusha mauaji yakiwemo yale yanayotokana na ushirikina.

"Matukio machache ambayo yanatupa shida kidogo ni haya mauaji ambayo yanatokana na hasira, mwenzako kwa shida yake kaiba kuku na sheria zipo matokeo yake anapigwa kwa hasira wanamuua," amesema IGP Sirro 

Aidha IGP Sirro akaongeza tena "Mauaji yanayotokana na wivu wa mapenzi mke na mume wamekubaliana kutengeneza familia wanakuwa na ugomvi wa kawaida, baba anachukua hasira anaua mke, kama umemchoka mke au mume si mnaachana tu vizuri, na bahati nzuri kwa Afrika wanawake ni wengi kuliko wanaume kama umeona mimi nakukera niache tafuta mwingine una sababu gani ya kuondoa maisha yangu,".

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali