Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kariakoo yote kusafishwa, wenye meza kuondolewa

Jumamosi , 16th Oct , 2021

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla, amewataka wote wanaofanya biashara kwenye maeneo yaliyokatazwa kutumia siku tatu zilizosalia kuhama ili kuepuka usumbufu unaoweza kujitokeza.

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla

Hata hivyo RC Makalla amemuelekeza mkuu wa wilaya ya Ilala, kuhakikisha wafanyabiashara wote waliopanga meza katikati ya barabara za mitaa, Kariakoo na Msimbazi kuondolewa ili barabara zibaki wazi kwa ajili ya magari kushusha mizigo.

RC Makalla ametoa maelekezo hayo wakati wa kikao cha kupokea taarifa ya utekelezaji wa maelekezo ya kuwapanga machinga kwa kila wilaya ambapo amesema kwa hizi siku tatu serikali itaongeza nguvu kwenye kutoa matangazo na elimu ili kuhakikisha ifikapo Oktoba 18, 2021, kila mfanyabiashara awe kwenye eneo alilopangiwa.

RC Makalla pia ameelekeza maeneo yote watakayopelekwa wafanyabiashara ikiwemo masoko, daladala zishushe abiria kwenye maeneo hayo ili kuchochea biashara.

Miongoni mwa wafanyabiashara wanaotakiwa kupangwa ni wale waliojenga vibanda juu ya mitaro na mifereji, wanaofanya biashara kwenye maeneo ya watembea kwa miguu, wanaofanya biashara kwenye hifadhi ya barabara, wanaofanya biashara mbele ya maduka, na wanaofanya biashara kwenye taasisi za umma zikiwemo shule.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ