Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Katibu Mkuu wa Chama cha CCK adakwa na TAKUKURU

Alhamisi , 12th Dec , 2019

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Mkoa wa Ilala, inamshikilia Katibu Mkuu wa Chama cha siasa cha Kijamii (CCK), Renatus Muabhi, kwa makosa ya kujifanya ni Ofisa wa Serikali na kuomba rushwa ya kiasi cha Shilingi milioni 50, kutoka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya BECCO.

Katibu Mkuu wa Chama cha CCK, katikati ndugu Renatus Muabhi.

Akizungumza leo Desemba 12, 2019, Mkurugenzi wa TAKUKURU wilayani humo Christopher Myava, amesema kuwa wamemkamata Renatus Muabhi baada ya kuwekewa mtego kiwandani hapo.

"Tunamshikilia kwa kujifanya ni mtumishi wa TAKUKURU na kuomba rushwa ya Shilingi Milioni 50, kutoka kwa Mkurugenzi wa BECCO iliyoko Vingunguti, Wilaya ya Ilala, uchunguzi wetu umebaini lengo lake lilikuwa ni kuomba rushwa hiyo ili amsaidie bwana Manraj Bharya katika tuhuma zake za IPTL zinazomkabili" amesema Myava.

Mtuhumiwa huyo alikamatwa Juzi Desemba 10, 2019, majira ya jioni katika ofisi za kampuni hiyo akiwa tayari amekwishapokea pesa za mtego kiasi cha shilingi milioni 1, ambazo zilikuwa zimeandaliwa.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba