Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kauli ya DC mpya wa Ilala baada ya kuteuliwa

Jumatatu , 10th Aug , 2020

Mkuu wa Wilaya ya Ilala Ng'wilabuzu Ludigija amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, kwa kuendelea kumuamini na kumpa nafasi mbalimbali za uongozi huku akiwaomba watendaji wenzake wapya kumpa ushirikiano ili aweze kutimiza kazi aliyopewa kwa ufanisi.

Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Ng'wilabuzu Ludigija.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Agosti 10, 2020, wakati akizungumza kwenye kipindi cha SupaBreakfast ya East Africa Radio, ikiwa ni siku moja tu imepita tangu Rais Magufuli amteue kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala, kutoka katika nafasi ya Ukurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni.

"Nimshukuru sana Mh Rais kwa kuendelea kuniamini, tumekuwa hapo Manispaa ya Kigamboni tumefanya mambo makubwa lakini kwa jukumu hili jipya ni jukumu kubwa na Ilala ni wilaya ya kibiashara na wananchi wengi wanategemea sana Ilala niwaombe watumishi wa Ilala kunipatia ushirikiano ili tuhakikishe kwamba tunawatumikia wananchi wetu" amesema Ludigija.

Aidha Ng'wilabuzu akataja vipaumbele vyake, "Niseme kwamba mimi ni mtu ambaye napenda sana kutembea Site nijue eneo ambalo nalisimamia lakini pia nitahakikisha napata muda wa kuwa ofisini ili niweze kuwahudumia makundi yote wale wenye shida ya mtu mmoja mmoja nao watapata kuhudumiwa".

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa