Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kauli ya Melo kwa wanaotumia simu 'used' 

Ijumaa , 29th Mei , 2020

Mkurugenzi wa JamiiForums na Mtaalam wa Mawasiliano ya Teknolojia, Mexence Melo, amewaomba Watanzania kuepuka kununua simu zilizotumika 'Used' kutoka katika mataifa mbalimbali na hata ndani ya nchi kwa kuwa wanakuwa hawajui historia ya mtumiaji wa hiyo simu.

Mkurugenzi wa JamiiForums, Mexence Melo.

Melo ameyabainisha hayo leo Mei 29, 2020, kwenye kipindi cha SupaBreakfast ya East Africa Radio, na kuongeza kuwa mtu anaweza kununua simu ambayo ilitumika kwenye uhalifu na hata kwenye mitandao mikubwa ya kigaidi na hivyo endapo simu hiyo itaanzwa kuchunguzwa, basi atakayekamatwa nayo ndiye atakayehusishwa na matukio hayo moja kwa moja.

"Kununua simu iliyotumika si vibaya sana, kama uko tayari kuyachukua yale yote yaliyoambatana na hiyo simu, maana hiyo simu unakuwa nayo karibu kuliko hata mpenzi wako au mtu wako wa karibu, kwahiyo unakuwa umezikubali athari zote zitakazotokea, lakini epuka kununua simu zilizotumika, kwa sababu inakuwa ina historia ambayo hauijui, huenda mwenye hiyo simu alishawahi kuifanyia uhalifu" amesema Melo.

Aidha Melo ameshauri umuhimu wa kila mtu kuwepa nywira 'Password' ambayo siyo rahisi mtu kuipatia na isiwe ile ya mwaka wako wa kuzaliwa.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi