Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kauli ya Richie kuhusu Bongofleva kuingilia filamu

Jumanne , 12th Nov , 2019

Msanii na mtayarishaji wa filamu Single Mtambalike, amewakataza watu kusema kuwa wasanii wa  BongoFleva, wamekuja kuchukua nafasi zao kutokana na kuwepo kwa wimbi la baadhi ya wasanii hao kuanza kuigiza filamu.

Msanii na mtayarishaji wa filamu Single Mtambalike.

Kupitia EATV & EA Radio Digital, Single Mtambalike amesema, fani ya kuigiza ina kila mtu na sio ya BongoMovie peke yao.

"Mimi nataka wasiwe wanasema hivyo kwenye masuala yao, huwa nachukia sana, kuhusu kuja kuchukua nafasi zetu kwani sisi ni nani, sisi hapa sio kwetu hii Tanzania ina wenyewe na uigizaji una kila mtu, hakuna mwenye nayo, hata kwenye muziki kulikuwa na kina T.I.D sasa hivi kuna wengine" amesema Single Mtambalike.

Aidha Single Mtambalike ameongeza kuwa, "Kila mtu ana wakati wake kama wakija huku na kufanya vizuri  itakuwa ni wakati wao kufanya hivyo, tukiwa sisi itakuwa hivyohivyo pia, mimi nasema waje tu tena Mungu awajaalie wafanye vizuri, hata sisi heshima yetu itakuwa bado inakumbukwa ila isije kufa kabisa kwa sababu tutasahaulika".

Baadhi ya wasanii ambao sasa hivi wanafanya filamu ni Lulu Diva, Nandy, Quick Rocka, Alice Kella na Gigy Money.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya