Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kenya Afisa wa Jeshi mbaroni kwa kumnyonga Mkewe

Jumatatu , 18th Nov , 2019

Afisa wa Jeshi nchini Kenya Peter Mwaura, amedaiwa kuwauwa kwa kuwanyonga watoto wake wawili pamoja na mkewe na kuwazika katika kaburi la pamoja eneo la Nanyuki, nchini Kenya.

Afisa wa Jeshi nchini Kenya Peter Mwaura,akiwa mikononi mwa Polisi

Maafisa wa uchunguzi wanaochunguza tukio hilo, wamesema miili ya Mama na wanawe wawili, waliotoweka wiki tatu zilizopita eneo la Nanyuki, Kaunti ya Laikipia baada ya kumtembelea Peter Mwaura, ambaye ni Afisa wa Jeshi wa kikosi cha Wanahewa cha Laikipia Airbase.

Kwa mujibu wa Afisa anayefuatilia upelelezi wa kesi hiyo Muinde Mwau, mshtakiwa Peter Mwaura atafikishwa mahakamani hii leo Novemba 18, 2019, huku upasuaji wa miili hiyo ukitarajiwa kufanyika hivi karibuni, kwa ajili ya uchuguzi wa tukio hilo.

Kwa mujibu wa taarifa za mwanzo Joyce Wambua, alimtembelea aliyekuwa mumewe Peter Mwaura ambaye ni Afisa wa Jeshi, kutoka Nairobi hadi Nanyuki, lakini siku iliyofuata Wambua na mwenzake hawakuonekana, na simu yake ikipatikana kwenye gari la abiria ikidaiwa kuwa ilikuwa njama ya kupoteza ushahidi wa mauaji hayo.

Inadaiwa kuwa Afisa huyo alichukua hatua hiyo baada ya kuagizwa na Mahakama kulipa kitita cha shilingi Elfu 75000, kila mwezi kama ada ya utunzaji watoto, hii ni baada ya kuachana na mkewe pesa ambazo alizilipa kwa miezi mitatu tu kabla ya kufanya kitendo hicho cha kinyama.

                   Mke na watoto wa wawili wa Afisa wa Jeshi ambao wanadaiwa kunyongwa

 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya