Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kesi ya Zitto yazidi kupamba moto

Jumanne , 9th Apr , 2019

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imepanga kusikiliza kwa siku mbili mfululizo kesi ya Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, na Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Zuberi Kabwe.

Kesi hiyo ya 'uchochezi' ya Jinai Na. 327 ya Mwaka 2018, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu aleo iliitwa kwa ajili ya kusikiliza ushahidi wa upande wa mashtaka, ambapo imeahirishwa hadi tarehe 24 na 25 Aprili 2019.

Uamuzi huo umetolewa na Hakimu Huruma Shaidi kutokana na upande wa mashtaka kwa mara nyingine kushindwa kumleta mahakamani shahidi wao kwa madai kwamba shahidi huyo yupo kwenye operesheni maalum ya Jeshi la Polisi.

Mawakili wa utetezi Wakili Peter Kibatala na Wakili Stephen Mwakibolwa hawakuwa na pingamizi kwa maombi ya shauri hilo kupangiwa tarehe nyingine.

Hakimu Huruma Shaidi amesema kwamba amepanga kusikiliza ushahidi wa kesi hiyo kwa siku mbili mfululizo ili imalizike kwa muda uliopangwa hivyo upande wa mashtaka uhakikishe unaleta mashahidi wake wake kwenye muda uliopangwa.

Inadaiwa kuwa Oktoba 28,2018 katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika katika ofisi za makao makuu ya Chama cha ACT Wazalendo, kiongozi huyo alitumia maneno yenye kuleta kuleta chuki miongoni mwa wananchi wa Tanzania dhidi ya Jeshi la Polisi.

Mbunge huyo alifikishwa Mahakama ya Kisutu kwa mara ya  kwanza, Novemba 2, 2018, kwa sasa bado Zitto anaendelea na dhamana.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali