Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kesi vigogo wa Almasi yapigwa kalenda

Jumanne , 15th Sep , 2020

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeutaka upande wa mashtaka kufuatilia jalada la kesi inayomkabili Mkurugenzi wa Uthaminishaji Almasi na Vito Tanzania (TANSORT), Archard Kalugendo na mwenzake ambalo lipo kwa Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP).

Archard Kalugendo

Mbali na Kalugendo mshtakiwa mwingine katika kesi hiyo ni Mthamini Almasi wa Serikali, Edward Rweyemamu ambao wanadaiwa kuisababishia Serikali hasara ya Sh Bilioni 2.4.

Wakili wa Serikali, Faraja Ngukah amedai hayo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi, kuwa jalada la kesi hiyo bado lipo kwa DPP kusubiri maelekezo hivyo, aliomba tarehe nyingine kwa ajili ya kutajwa.

Wakili wa utetezi, Nehemiah Nkoko amedai kesi hiyo ni ya tangu 2017 na kwamba taarifa hiyo kuhusu jalada kuwepo kwa DPP ni ya muda mrefu, hivyo kama inawezekana apelekwe muhusika kwa DPP ili aeleze ni lini maelekezo hayo yatatoka kusudi wateja wake wapate nafuu.

Akijibu hoja hiyo, Ngukah amesema wanatambua kuwa jalada hilo ni la muda mrefu na wanalifanyia kazi ambapo Hakimu Shaidi ameahirisha kesi hiyo hadi Septemba 29, mwaka huu kwa ajili ya kutajwa na kuelekeza upande wa mashtaka kufuatilia jalada hilo.

Kwa mujibu wa hati ya mashtaka, washtakiwa wanakabiliwa na mashtaka ya kuisababishia Serikali hasara ya Sh  2,486,397,982.54, ambapo wanadaiwa kutenda kosa hilo kati ya Agosti 25 na 31, 2017  katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam na Mkoa wa Shinyanga.

HABARI ZAIDI

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea