Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kikwete aongoza sherehe za miaka 51 ya Muungano

Jumapili , 26th Apr , 2015

Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete leo amewaongoza watanzania katika maadhimisho ya miaka 51 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, katika sherehe zilizofanyika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

Rais Jakaya Kikwete wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akifurahia jambo akiwa ameambatana na rais wa serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dkt Ali Mohammed Shein.

Mara baada ya Kuingia uwanjani hapo Rais Kikwete amepigiwa mizinga 21 ya heshima pamoja na kukagua gwaride la vikosi mbalimbali vya ulinzi na usalama huku vikosi Mbalimbali vya Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ ,Jeshi la Polisi , Jeshi la Kujenga Taifa JKT pamoja na vya Jeshi la Magereza vikipita kwa ukakamavu katika sherehe hizo.

Sherehe hizo zimehudhuriwa pia na Rais wa Srikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ,Marais wastaafu wa Tanzania, viongozi mbalimbali wa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania na idadi kubwa ya wananchi ambao wamejitokeza kushuhudia sherehe hizo.

Shughuli nyingine zilizofanyika ni pamoja na ngoma za asili kutoka kwa makabila mbali mbali yaliyoipo nchini pamoja na onyesho maalumu la ndege za kivita zilizopita na kutoa heshima katika anga ya uwanja huo.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya