Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kilichojiri kwa Askari aliyemuua raia mweusi

Alhamisi , 28th Mei , 2020

Mtanzania anayeishi nchini Marekani Fanirani Mbasha, amesema kuwa mpaka sasa hivi wale Askari wanne waliokuwepo katika tukio la mtu mweusi nchini humo aliyekandamizwa kwa goti shingoni mwake na kupoteza maisha wamekwishafukuzwa kazi.

Upande wa kushoto, Askari akionekana kumkandamiza raia mweusi, kulia ni Mtanzania anayeishi nchini Marekani Fanirani Mbasha.

Fanirani ameyabainisha hayo leo Mei 28, 2020, wakati akizungumza na kipindi cha SupaBreakfast ya East Africa Radio, na kusema kuwa mpaka sasa hivi raia weusi nchini Marekani bado wako nje wakiandamana, kudai hatua kali zaidi zichukuliwe dhidi ya Askari hao ikiwemo kupewa mashtaka ya mauaji.

"Nadhani presha hii inaweza ikazaa matunda kwa sababu mpaka sasa hivi bado waandamaji wako nje, ukiangalia kwenye live stream unaona kabisa hawa watu hasira zao bado hazijaisha, licha ya kwamba hao Askari wamefukuzwa kazi na watu wanatamani hatua kali zaidi zichukuliwe na wapewe mashtaka" amesema Fanirani.

Hivi karibuni kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii, zilisambaa video zikionesha Askari akiwa amemkandamiza kwa kutumia goti lake shingoni raia mweusi, huku mtu huyo akionekana kulalamika na bila kusikilizwa na ndipo mauti yalimpofika, na watu wengi wamelaani kitendo hicho.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri