Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kilichowafanya Mdee na wenzake 18 wasiende kikaoni

Jumanne , 1st Dec , 2020

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake (BAWACHA), wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ,CHADEMA, Halima Mdee amesema kuwa uamuzi wakutokuhudhiria  kikao cha kamati kuu ulikuwa ni uamuzi wa busara kutokana na kuwepo kwa mazingira hatarishi.

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake (BAWACHA), wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ,(CHADEMA), Halima Mdee

Akizungumza leo katika mkutano wake na waandishi wa habari jijini Dar es salaam, Mdee, amesema kuwa hawakuweza kuhudhuria kikao cha Kamati kuu kutokana na kuwepo na mpango wa kufanyiwa fujo na baadhi ya wanachama huku akisema walimtumia katibu mkuu barua ya kutaka kikao hiko kisogezwe.

“Tuliandika barua ya kutaka kikao hiko kisogezwe tulijibiwa na tulikataliwa na kwa sababau hakukuwa na  mazingira ambayo yalituonyesha zile sababu mbili ambazo tumezitoa zimepatiwa masuluhisho tulidhani kibinadamu ni busara kuto kwenda sio kwamba tulidharau chama wala kikao” amesema Mdee

Aidha kuhusiana na wao kuvuliwa uanachama wao na na nyadhifa zao zote kwenye chama, Mdee amesema kuwa yeye na wenzake wataendelea kuwa wanachama wa chama hicho mpaka rufaa zao zitaposikilizwa.

“Tutabaki Chadema kama wanachama wa hiari, japo tumefukuzwa ila hatutoondoka sisi ni wanachama ving’ang’anizi, hatuondoki Chadema mpaka pale tutakapoenda kusikilizwa rufaa zetu, na tunaamini tutayamaliza na tutaenda kuyajenga ndani kwetu” amesema Mdee

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi