Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kilimo cha Migomba kiwe cha Kibiashara-Mansour

Jumanne , 3rd Mei , 2016

Kaimu Mkurugenzi wa tafiti na Maendeleo kutoka Wizara ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi, Hussein Mansour,amesema kuwa ni muhimu kwa wakulima wa migomba nchini kulima kisasa kwa kutumia mbegu zinazostahimili magonjwa na ukame.

Mashamba ya Migomba

Mansour ametoa kauli hiyo jijini Arusha mara baada ya kufungua Mkutano wa Kimataifa uliowakutanisha wataalamu wa utafiti wa kilimo kutoka taasisi na vyuo mbalimbali duniani.

Kaimu Mkurugenzi huo amesema kuwa bado kuna changamto nyingi katika uzalishaji wa zao la ndizi ikiwemo magonjwa hivyo wakulima wanatakiwa kulima kwa kutumia mbegu bora na za kisasa kwa lengo la kufanya kilimo cha biashara.

Kwa upande wake Naibu Makamu Mkuu wa Taasisi inayoshughulikia taaluma ,utafiti,na ubunifu toka Chuo Kikuu cha Nelson Mandela, Prof. Luganu Siluka amesema mkutano huo unahusisiha watalaamu wa uzalishaji ndizi wanaofanya kazi katika mradi unaoshughulikia uzalishaji wa ndizi.

Nae Naibu Mkurugenzi wa Taasisi ya Kimataifa ya kilimo cha Kitropical, ambao ndio watekelezaji wa mradi huo barani Afrika, amesema mradi huo unatekelezwa katika nchi mbili ambazo ni Tanzania na Uganda, kutoka na umuhimu wa zao hilo katika jamii ya nchi hizo.

Watalaamu hao kutoka nchi mbalimbali za Afrika, wamekutana jijini Arusha kwa lengo la kupitia changamoto mbalimbali zinazololikabili zao la migomba na kutafuta ufumbuzi ikiwa ni pamoja na kuelimisha mikakati ya namna ya kuongeza uzalishaji.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ