Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kinachoendelea kesi ya kuua na kumchoma moto mke

Jumanne , 10th Sep , 2019

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, leo Septemba 10 ilikuwa inaendelea kusikiliza kesi ya mauaji inayomkabili mfanyabiashara Khamis Saidy, anayekabiliwa na mashtaka ya kumuua na kisha  kumchoma moto Mke wake.

Mfanyabaishara Khamis Saidy anayekabiliwa na mashtaka ya mauaji akiwa Mahakamani.

Akizungumza Mahakamani hapo mbele ya Hakimu Mkazi Salum Ally, Wakili wa Serikali Wankyo Simon amesema kuwa, upelelezi wa kesi hiyo upo katika hatua za mwisho ili kuipatia mahakama hiyo nyaraka na hatimae kesi hiyo kupelekwa Mahakama Kuu.

Kufuatia maelezo hayo, mshtakiwa aliomba kupatiwa hati ya mashtaka yanayomkabili ambapo wakili Wankyo, aliahidi kumpatia na kesi hiyo imeahirishwa hadi Septemba 24, itakapofikishwa mahakamani hapo tena kwa ajili ya kutajwa.

Mfanyabiashara huyo anakabiliwa na mashtaka ya kuua kwa kukusudia, ambapo inaelezwa alitekeleza kosa hilo Mei 15, 2019, mara baada ya kumuua kisha kumchoma na moto wa magunia mawili ya mkaa mke wake Naomi Marijani, kisha kuyachukua mabaki ya mwili huo na kwenda kuyafukia shambani kwake Mkuranga.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya