Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

 Kiongozi wa serikali mbaroni kwa utapeli

Ijumaa , 12th Jan , 2018

Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linawashikilia watu sita akiwemo Afisa ardhi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela, Aloyce Nyabange na mchora ramani wa viwanja Dedatus Mbeti kwa tuhuma za utapeli wa kuuza viwanja feki na kughushi nyaraka,

mbalimbali za serikali na kujipatia fedha kwa udanganyifu.

Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Naibu Kamishna, Ahmed msangi amewataja watuhumiwa wengine kuwa ni Alex Josehat mkazi wa Buswelu mfanyabiashara, Juma Malulu Mkulima, Getruda Buberwa ambaye ni Sekretari kwenye ofisi ya Nyambari Nyegezi na Evansi Wilson mkazi wa Buzuruga.

Aidha Kamanda Msangi amesema taarifa hizo wamezipata baada ya watuhumiwa hao kumtapeli Barnabas Nibego ambaye alitoa taarifa kwa jeshi la polisi  kuhusu kutapeliwa na watu hao baada ya kubaini kauziwa kiwanja feki.

Kamanda Msangi amesema ushahidi utakapokamilika watuhumiwa hao wataishwa mahakamani.

Mbali na watu hao kuuza viwanja feki wanatuhumiwa pia kughushi taarifa za benki vitambulisho vya kupigia kura pamoja vyeti vya ngazi mbalimbali za elimu.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali