Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kisa cha binti anayedaiwa kubakwa mwaka mzima

Jumatano , 3rd Mar , 2021

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Anna Henga, ametoa ushuhuda wa binti aliyekuwa akibakwa na bosi wake kwa mwaka mzima kwa lengo la kulinda ajira yake lakini walipotaka kumsaidia alikimbia kwa kuhofia kupoteza kazi.

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Anna Henga

Kauli hiyo ameitoa hii leo Machi 3, 2021, kwenye kipindi cha Supa Breakfast cha East Africa Radio, wakati akizungumzia ukubwa wa tatizo la rushwa ya ngono makazini na hata mashuleni, na kusema kuwa tatizo la rushwa ya ngono lipo na mara nyingi wahanga wa tatizo hilo huwa hawatoi taarifa.

"Kuna msichana alikuwa anabakwa na bosi wake karibia mwaka mzima ili aweze kubaki kazini na wasichana wengi katika hiyo ofisi walikuwa wamefukuzwa kwa sababu wamemkataa bosi na yeye kwa vile alikuwa na shida akamvumilia na tulipotaka kumsaidia akakimbia kwa kuhofia kukosa kazi na hii rushwa ya ngono inawapata watu ambao hawana chaguo," amesema Anna Henga.

Aidha, Anna Henga, ameongeza kuwa, "Mwarobaini wa tatizo la rushwa ya ngono siyo mmoja inahitaji sekta mbalimbali kushirikiana ili kuliondoa maana ni mbaya sana na linadhalilisha utu".

HABARI ZAIDI

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro