Katibu wa Bunge, Nenelwa Mwihambi
Taarifa hiyo imetolewa leo Februari 3, 2022, hii ni baada ya aliyekuwa Naibu Spika ambaye sasa ni Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson, kuandika barua ya kujiuzulu nafasi hiyo mnamo Januari 31 mwaka huu.
Jina la mgombea litatakiwa kuwasilishwa kwa msimamizi wa uchaguzi kabla ya saa 10:00 jioni siku ya alhamisi ya Februari 10, 2022.



