Wateja wakigombania kuingia ndani ya benki ya Twiga, Makao Makuu mtaa wa Samora jijini Dar es Salaam hii leo.

8 Nov . 2016

Mkurugenzi wa Uchaguzi NEC Bw. Ramadhani Kailima

8 Nov . 2016

Marehemu Spika mstaafu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samwel Sitta.

8 Nov . 2016

Mtakwimu Mkuu kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Bi. Ruth Minja (kulia) akizungumza na wanahabari hawapo pichani

8 Nov . 2016

Dominician Mkama - Mkuu wa Kanda Dar es Salaam kutoka Vodacom Tanzania, akitaja majina ya wasanii wanaowania tuzo hizo, ndani ya studio za EA Radio

8 Nov . 2016

Rais Magufuli akimkaribisha Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa Jenerali Michael Isamuhyo

8 Nov . 2016

Mkuu wa kikosi cha Usalama Barabarani mkoa wa Arusha (SSP) Nuru Kacharia akitoa takwimu juu ya hali ya usalama barabarani kwa wananchi wa Arusha wakati wa uzinduzi ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani iliyofanyika jana katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.

8 Nov . 2016