Wateja wakigombania kuingia ndani ya benki ya Twiga, Makao Makuu mtaa wa Samora jijini Dar es Salaam hii leo.
Mkurugenzi wa Uchaguzi NEC Bw. Ramadhani Kailima
Marehemu Spika mstaafu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samwel Sitta.
Mtakwimu Mkuu kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Bi. Ruth Minja (kulia) akizungumza na wanahabari hawapo pichani
Dominician Mkama - Mkuu wa Kanda Dar es Salaam kutoka Vodacom Tanzania, akitaja majina ya wasanii wanaowania tuzo hizo, ndani ya studio za EA Radio
Basi la mwendo wa haraka
Rais Magufuli akimkaribisha Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa Jenerali Michael Isamuhyo
Mkuu wa kikosi cha Usalama Barabarani mkoa wa Arusha (SSP) Nuru Kacharia akitoa takwimu juu ya hali ya usalama barabarani kwa wananchi wa Arusha wakati wa uzinduzi ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani iliyofanyika jana katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.
