Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kuhusu Zitto kushindwa kurudi Tanzania

Jumanne , 11th Feb , 2020

Katibu wa Uenezi wa Chama cha ACT Wazalendo, Ado Shaibu amesema kuwa Kiongozi wa Chama hicho Zitto Kabwe, hajashindwa kurejea nyumbani kwa sababu ya hofu na vitisho anavyovipata bali ni kutokana na afya yake kutokuwa imara na Madaktari kumshauri apumzike.

Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe

Akizungumza leo Februari 11, 2020 na EATV&EA Radio Digital, Ado Shaibu amesema kuwa Zitto alitarajiwa kurudi nchini siku ya jana ila kutokana na hali yake kutokuwa nzuri alishindwa, ila kwa sasa anaendelea vizuri na kwamba tarehe 18 lazima atahudhuria mahakamani ili kujua hatma yake.

"Zitto anaumwa na atarudi nyumbani, si kama kashindwa sababu ya hofu, sisi tunaamini kwamba majaribio yote ya kumdhuru Zitto hayawezi kufanikiwa, alitoa kauli zile za kupokea vitisho kwa sababu ilikuwa ni muhimu kupaza sauti ili kuzuia uovu" amesema Ado Shaibu.

Jana Februari 10, 2020 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam mdhamini wa Zitto Kabwe, Ray Kimbita aliiambia Mahakama kuwa Zitto ameshindwa kuhudhuria mahakamani kwasababu ni mgonjwa na amelazwa Marekani.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali