Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Kuna shule zinavyoo vibovu' - Jafo

Jumatano , 21st Aug , 2019

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Selemani Jafo, amewaagiza Wakurugenzi hadi kufikia Desemba 2019, kuhakikisha wale walimu wote waliosomea elimu yenye mahitaji maalumu, wanawahamisha na kuwapeleka katika shule zenye mahitaji maalumu na jumuishi.

Waziri Jafo amebainsha hayo Agosti 21, akizungumza na Maafisa Elimu kutoka mikoa yote 26, na kuwaagiza Maafisa Elimu kudumisha upendo kwa watoto wenye mahitaji maalumu kwani wanahitaji upendo wa hali ya juu.

"Ifikapo Disemba 2019 walimu wote waliosomea elimu yenye mahitaji maalumu,  wahamishiwe kwenye shule zenye mahitaji maalumu, ama shule jumuishi na wahakikishe walimu hao wote walipwe posho zao zilizokamilika, hatutaki kurundika madeni katika suala zima la uhamisho wa walimu" amesema Waziri Jafo.

Aidha Waziri Jafo amebainisha namna watoto wenye mahitaji maalumu wanavyokumbana na mazingira magumu mashuleni, na kuwaagiza maafisa elimu maalumu kutembelea katika shule hizo, ili kubaini changamoto wanazokumbana nazo walemavu.

"Watoto wanadharirika watoto wanapata shida hata wewe msimamizi mkuu hujawahi fika eneo lile, utamshauri nini Mkurugenzi kama hata wewe unashindwa kutembelea eneo lako, nilifika pale shule  ya uhuru Mchanganyiko, nilifika pale maeneo yao hadi nilitoa machozi, nilifika Shule ya Mafinga  nilimkuta mtoto mlemavu hataki hata kwenda chooni kwa sababu choo chenyewe kilikuwa kibovu hadi wadudu wanatoka" amesema Waziri Jaffo.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi