Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Kura zihesabiwe hadharani" -  Rais Magufuli

Jumatatu , 20th Jul , 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Dkt John Magufuli, amesema katika nafasi ya Ubunge jumla ya waliojitokeza kutia nia ya kuomba kuteuliwa kupeperusha bendera ya vhama hicho kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi Oktoba ni 10, 367. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John POmbe Magufuli.

Rais amesema hayo leo Julai 20, 2020 wakati akizungumza na viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni mara baada ya kuwaapisha Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma, ambapo ameagiza kura za maoni zihesabiwe hadharani.

"Ni kweli mmepata nafasi hizi kwa sababu ya fursa nina imani mlioteuliwa mtakwenda kutekeleza wajibu wenu, mpaka leo waliochukua fomu za Ubunge na uwakilishi kupitia CCM ni 10,367 na waliorudisha fomu ni 10321, kwahiyo ambao hawakuzirudisha ni 46", amesema Rais Magufuli.

Julai 14 hadi 17 chama hicho kilifungua dirisha la uchukuaji fomu kwa watia nia wa nafasi za Ubunge na Udiwani, ambapo imeshuhudiwa maelfu ya watia nia tofauti na chaguzi zilizopita na huenda uchaguzi wa mwaka 2020, ukawa umeweka rekodi ya pekee.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi