Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Kutekeleza ilani ya CCM ni kupoteza muda"- Msigwa

Jumatatu , 24th Sep , 2018

Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa amesema hata akikabidhiwa ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) hawezi kuipokea kwa madai kila mwananchi anapaswa kukabidhiwa mpango wa maendeleo ya taifa ya miaka mitano na si ilani ya CCM.

Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa.

Kauli hiyo imekuja kufuatia www.eatv.tv ilipomtafuta mbunge huyo wa Chadema Jimbo la Iringa mjini baada hivi karibuni kukaririwa kwenye mitandao ya kijamii akiikosoa kitendo cha baadhi ya viongozi wa serikali kutaka kila mtumishi wa umma kuwa na ilani ya chama hicho tawala.

Mchungaji Msigwa amesema "ilani inafanywa kuwa Mpango wa miaka mitano na ukishapitishwa unatungiwa sheria, hatutekelezi ilani ya Chama cha Mapinduzi, kwa hiyo mtu akisema tunatekeleza ilani ya CCM anapoteza muda tu, kwa sababu hakuna nguvu ya kisheria ya kutekeleza ilani ya CCM ila kuna nguvu ya kissheria kutekeleza mpango wa miaka 5, kwa hiyo ukinipa ilani ya CCM ni sawa umenipa gazeti tu."

www.eatv.tv imezungumza na Katibu wa Bunge wa Stephen Kagaigai juu ya namna ambavyo ya utekelezaji wa zoezi la uongezwaji kwa ilani ya CCM kwenye makablasha ya wabunge amesema yeye bado hajakadhiwa ilani kwa ajili ya kuwakabidhi.

"Hizo ilani sizigawi mimi, ni serikalini huko, kwenye makablasha yangu sikuziona na kama walipewa labda walipewa kwa njia nyingine ila kwenye makashablasha yangu sijaziona." Amesema Katibu wa bunge Kagaigai

Katika bunge la mwezi April mwaka huu Spika wa bunge Job Ndugai alitoa mwongozo kwa katibu wa bunge juu ya ugawaji wa ilani ya CCM kwa wabunge wa upinzani.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa