Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kuungua kwa shule za Kiislamu, Waziri atoa neno

Ijumaa , 31st Jul , 2020

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa kutokana na kufululiza kwa matukio ya kuungua kwa shule za kiislamu jijini Dar es saalam, tayari Mkuu wa Mkoa huo Abubakar Kunenge ameunda kamati za uchunguzi ili kubaini chanzo cha matukio hayo.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.

Waziri Mkuu amesema hayo wakati akizungumza katika  Baraza la Eid El Adh’haa  lililofanyika Kitaifa kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam, na kuongozwa na Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeir Bin Ally ,leo Julai 31, 2020, ambapo amewaasa waumini hao pia kusherekea sikukuu hiyo kwa amani.

Waziri Mkuu amesema kuwa inashangaza kwanini matukio hayo yajitokeze kwa shule za kiislam pekee, hivyo viongozi wa Mkoa wahakikishe wanapata chanzo cha matukio hayo, ili kuondoa sintofahamu hiyo.

“Hizi shule wanasoma wanafunzi wa dini zote na hakuna ubaguzi wowote nchini, ila haya matukio yamefatana Mkoa wa Dar es salaam, tayari Mkuu wa Mkoa ameshaunda kamati ya uchunguzi na italeta majibu haraka iwezekanavyo”, amesema Waziri Majaliwa.

Kwa upande wake Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeir, amewataka waumini wa kiislamu kutumia siku hiyo kutoa sadaka kwa watu wasiojiweza ili wote washerehekee kwa pamoja.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam ambao ndiyo mwenyeji wa swala hiyo kitaifa, Abubakar Kunenge, amewataka wakazi wa mkoa huo kusherehekea sikukuu hiyo kwa kiasi na wasiwe chanzo cha migogoro.
 

HABARI ZAIDI

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea