Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Laini za simu milioni mbili hatarini kuzimwa

Jumanne , 24th Jan , 2023

Serikali inatarajiwa kuzima laini za simu zaidi ya milioni mbili ifikapo Februari 13 mwaka huu iwapo wamiliki wake hawatakuwa tayari kuzihakiki

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma leo Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Nnauye amesema lengo ni kuwadhibiti matapeli wa mitandaoni

Aidha Waziri NAPE amesema serikali imeteua kamati ya  watu tisa watakaokuwa na jukumu  la kutathimini uchumi wa wanahabari.

Waziri Nape amewataka watanzania kuhakiki laini zao kwa kuwa yoyote aliyesajili kwa uongo hawezi kuhakiki laini hiyo

"Kuna laini nyingi mtaani, ambazo watu wametumia vitambulisho vya watu wengine kusajili laini, na zinatumika kufanya utapeli, kwa hiyo laini tunazokwenda kuzizima ni zile ambazo zimesajiliwa, lakini zimesajiliwa kwa uongo," 

"Kama hujaisajili kwa uongo nenda kaihakiki, yoyote aliyesajili kwa uongo hawezi kuhakiki, kwa sababu ule utaratibu wa uhakiki utamnyima baadhi ya taarifa" amesema Waziri Nape

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali