Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lema apewa onyo kali, aambiwa aache siasa

Jumatatu , 17th Feb , 2020

Jeshi la Polisi mkoani Arusha limemtaka Mbunge Godbless Lema, kutoingilia kazi zake, kwani lazima litayatekeleza maagizo ya Mkuu wa Mkoa huo, aliyetaka kukamatwa kwa waliohusika kusambaza video, zinazoonesha ubovu wa miundombinu ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, bila kujali nafasi zao.

RPC Arusha, Jonathan Shana na kulia ni Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema.

Hayo yamebainishwa leo Februari 17, 2020, na Kamanda wa Polisi Mkoani Arusha Jonathan Shana na kusema kuwa Lema aache masuala ya kisiasa na kwamba badala ya yeye kushangaa kuona watu wakikamatwa kwa makosa ya kiuchochezi, bali Jeshi hilo litamshangaa yeye kwa kukosa uzalendo.

"Hili ni suala linalohusu uchumi wetu kwahiyo wanasiasa, wasilete masihara kwenye uchumi wa nchi, Mheshimiwa Lema na hii nasema kwenye dhati ya moyo wangu, kumtahadharisha akae mbali na suala hili wakati ambao jeshi lenye weledi likiwa kazini" amesema Kamanda Shana.

Jana Februari 16, 2020, Mkuu wa Mkoa huo Mrisho Gambo, alitoa agizo hilo na kudai kuwa waliosambaza video hiyo wanayo nia ya kuhujumu uchumi wa Taifa.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali