Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lipumba aahidi neema kwa wananchi wa Mbeya

Ijumaa , 16th Oct , 2020

Mgombea urais kwa tiketi ya chama cha wananchi,(CUF) Profesa Ibrahim Lipumba, amesema kuwa atahakikisha anaongeza upatikanaji wa umeme nchi nzima kwa kufua umeme wa megawatt 100 mpaka 200 kwa kutumia mradi wa makaa ya mawe yanayopatikana Kiwira wilayani Kyela mkoani Mbeya.

Mgombea urais kupitia CUF Profesa Ibrahim Lipumba

Profesa Lipumba, amesema mradi wa kufua umeme kwa kutumia makaa ya mawe ya Kiwira ni mradi ambao hauchukui muda mrefu, hivyo serikali ingeweza kuongeza upatikanaji wa umeme nchi mzima kwa kutumia makaa ya mawe ya Kiwila.

Ameongeza kuwa mradi huo wa umeme ungeweza kusaidia kwa haraka wakati serikali inajipanga kupata fedha za kukamilisha mradi wa Bwawa la Nyerere, kwani mradi huo umeanzishwa kwanza badala ya kutekelezwa kwanza.

''Wakati tunajipanga vizuri kupata fedha za kukamilisha mradi wa stiegler's Gorge, haya ni mapungufu ya serikali ya CCM, hakuna sababu kwanini ule mradi wa kufua umeme wa megawatt 200 mpaka 300 kwa kutumia makaa ya mawe ya Kiwila mpaka hivi sasa bado haujatekelezwa", amesema Profesa Lipumba.

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP