Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maalim Seif asisitiza kutoshiriki Uchaguzi marudio

Alhamisi , 17th Mar , 2016

Zikiwa simesalia siku mbili kabla ya kufanyika marudio ya Uchaguzi Mkuu Chama cha CUF kimetoa kauli ya mwisho ya kutoshiriki uchaguzi huo unaotarajia kufanyika Jumapili ya tarehe 20 Mwezi huu.

Katibu mkuu wa CUF Seif Sharif Hamad.

Akiongea akiwa mapumzikoni Hotelini, Jijini Dar es Salaam, Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad,amesisitiza kutoshiriki uchaguzi huo na kuwataka wananchama wa Chama chake wasijitokeze siku ya kupigaji wa kura.

Maalim Seif amesema kuwa msimamo wa upo pale pale na walishapeka barua kwa mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (ZEC), pamoja na wagombea wote wa chama hicho ingawa tume hiyo bado imeyaweka majina yao katika karatasi za kura.

Aidha Maalim Seif amesema pamoja na tume kushinikiza uwepo wa ushikiriki wao lakini kamwe hawatoyatambua matokeo ambayo yatapitakana katika uchaguzi huo ambao unarejewa baada ya uchaguzi wa awali wa October 25 kufutwa na mwenyekiti wa tume hiyo kwa madai ya kuwa uchaguzi huo ulikuwa na udanganyifu Mkubwa.

Pia Katibu Mkuu huyo amelilalamikia Jeshi la Polisi Visiwani humo pamoja na Serikali kwa kuwakamata wanachama wa chama hicho bila sababu za msingi akiwemo katibu uenezi wa chama hicho visiwani humo na kusema CCM, hawapaswi kutumia nguvu kwa sababu uchaguzi huo utakua hauna upinzani wowote.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri