Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maalim Seif atoa sababu za kutimkia ACT-Wazalendo

Jumatatu , 18th Mar , 2019

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hammad amesema kuwa kwa mujibu wa utafiti walioufanya wamegundua kuwa Katiba ya Chama cha ACT-Wazalendo ndiyo pekee yenye masharti mepesi kwao.

Maalim Seif akiwa na Zitto Kabwe, kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo.

Maalim Seif ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na wanahabari muda mfupi baada ya Mahakama Kuu kanda ya Dar es salaam, kukubali uamuzi wa msajili wa vyama vya siasa kumtambua Lipumba kuwa mwenyekiti wa chama cha wananchi (CUF).

''Mzigo wa CUF tumeutupa, hatuna habari tena na chama hicho, mambo hayo yamekwisha, sasa ni kusonga mbele na ACT Wazalendo, tumechambua vyama vyote na tukapitia Katiba zote, tukaona masharti ya ACT- Wazalendo, sio magumu na wametukaribisha vizuri'', amesema Maalim.

Sakata la Maalim Seif na Lipumba lilikotokea

Kabla ya hukumu ya leo Machi 18, 2019 kwenye kesi ya Chama Cha Wananchi CUF (upande wa Lipumba na Maalim Seif) ilihairishwa mara nne, mara ya kwanza ilikuwa Oktoba 10, 2018, ikapangiwa Novemba 30, 2018, ikaahirishwa hadi Januari 15, 2019, ikipangiwa tena Februari 22, 2019.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi