Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maandamano Sierra Leone yalikuwa yakushtukiza

Ijumaa , 19th Aug , 2022

Rais wa Sierra Leone Julius Maada Bio amesema kwamba  maandamano ya wiki iliyopita dhidi ya serikali yake yalikua ya kushtukiza na kupelekea  Polisi kutumia nguvu nyingi

Maandamano hayo yalipelekea vifo vya watu takribani 25 wakiwemo Askari Polisi 5

Raia wa nchi hiyo walikua wanaandamana wakipinga maisha kuwa magumu, rushwa na ukatili wa polisi wa nchi hiyo 

Rais Julius Maada Bio  amesema kuwa licha ya baadhi ya askari polisi kutokua na weledi lakini maandamano hayo yalikuja kwa kushtusha na kupeleka nguvu nyingi kutumika

Rais  Bio ameulaumu upinzani    wan chi hiyo kwa kujaribu kuitikisa serikali yake , madai ambayo yanapingwa na upinzani wa nchi hiyo  

Ameongeza kuwa uchunguzi zaidi unaendelea ili kujua ukweli wa maandamano hayo 

Amesema baadhi ya waandamanaji walikua wanawachochea watu kufanya mauaji na kuwashinikiza wanajeshi kuingia ikulu ya nchi hiyo 

Rais huyo ametetea maamuzi yake ya kufanya mabadiliko kwenye jeshi la nchi hiyo baada ya maandamano hayo huku akikanusha tishio la kupinduliwa

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ