Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Madereva 17 wa magari ya IT wakamatwa

Alhamisi , 29th Dec , 2022

Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linawashikilia madereva 17 wa magari yanayosafirishwa kutoka Bandari ya Dar es Salaam kwenda nje ya nchi (IT) kwa kosa la kusafirisha abiria kinyume cha sheria ya usalama barabarani sura ya 168 inayokataza magari hayo kusafirisha abiria

Kamanda wa polisi mkoa wa Pwani ACP Pius Lutumo pamoja na mkuu wa kitengo cha usalama barabarani Edson Mwakihaba wamesema Magari hayo ya IT yanayoanzia safari  zao Bandari ya Dar es salaam kwenda nchi za Zambia, Rwanda, Burundi na Congo kupita mikoa ya Pwani, Morogoro, Iringa, Njombe, Mbeya, Songwe, Dodoma, Singida, Tabora, Shinyanga, Geita na Kagera yamekuwa yakisababisha ajali na kuleta madhara makubwa kwa abiria, hivyo hii ni operesheni endelevu ili kuzuia biashara hiyo hatarishi.

Wito wa Jeshi la Polisi mkoa wa Pwani ni kuwataka abiria kutumia usafiri rasmi wa umma ili kuepusha usumbufu wanaoweza kuupata safarini kwa kukosa haki zao za msingi inapotokea ajali watumiapo magari ya IT. 

Aidha amewataka madereva wanaoendelea kukaidi na kuvunja sheria ya usalama barabarani kwa makusudi kuacha mara moja kwani jeshi la polis litaendelea kuwachukulia hatua kali za kisheria ikiwemo kukamatwa na kufikishwa mahakamani  

HABARI ZAIDI

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea