Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Madiwani watimua wezi wa milioni 118

Jumatatu , 13th Mei , 2019

Balaza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Songea Mjini mkoani Ruvuma, limewakuta watendaji wake watatu na hatia ya upotevu wa fedha za manispaa kiasi cha shilingi milioni mia moja na kumi na nane.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Mjini, Abdul Hassan Mshaweji

Akisoma maamuzi yaliyofikiwa na balaza hilo, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Mjini, Abdul Hassan Mshaweji, amesema watuhumiwa walikua wanne na mmoja hajakutwa na hatia.

Pia mwenyekiti huyo wa halmashauri ametaja hatua zilizochukuliwa na Baraza la Madiwani la hamshauri hiyo kwa watendaji watatu waliokutwa na hatia ya upotevu wa fedha, huku kamati ya uchunguzi ikimwachia huru mtuhumiwa mmoja kutokana na kutokutwa na hatia.

"Watendaji wetu watatu wamekutwa na hatia, Juliana Lotti amekutwa na hatia 8 na Baraza la Madiwani kwa masikitiko makubwa limefanya maamuzi magumu na maamuzi ya baraza ni kwamba tumeamua afukuzwe kazi moja kwa moja, wa pili anayefuatia ni Salum Mwandu ambaye baraza limeamua kuzuia mshahara wake nusu kwa kipindi cha mwaka mmoja. Hali kadhalika mtunza hazina Denis Mwatete, baraza limeamua kuzuia mshahara kwa muda wa mwaka mmoja".

"Mchakato unaendelea na kwa mujibu wa sheria, mamlaka ya mwisho sasa ni kwa Baraza la Madiwani la manispaa. Wahusika katika suala hilo walikuwa wanne, ambapo mmoja ameachiwa huru na kamati iliyofanya uchunguzi, huyu ni mkaguzi wetu wa ndani".

Bonyeza hapa kutazama zaidi.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba