Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Magufuli amuomba Mungu amsamehe Meya huyu

Jumatatu , 12th Oct , 2020

Mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt John Magufuli amemuomba Mungu amsamehe aliyewahi kuwa Meya wa Ilala na baadaye kuhamia, CCM, Omary Kumbilamoto, kwani kipindi yupo CUF alikuwa anafanya hujuma kwenye maendeleo kwa lengo la kutoipa kiki serikali.

Kushoto ni mgombea urais kupitia CCM Dkt John Magufuli na kulia ni aliyekuwa Meya wa Ilala Omary Kumbilamoto

Magufuli ametoa kauli hiyo hii leo Oktoba 12, 2020, akiwa jimbo la Segerea wakati akiomba kura muda mchache tu baada ya Kumbilamoto kukiri makosa yake na kuomba msamaha.

"Ninamshukuru Meya aliyekuwa wa chama kingine aliyeokoka na kurudi CCM, ameeleza wazi kwamba walipoingia madarakani kazi yao kubwa ilikuwa ni kukwamisha maendeleo ya wana Dar es Salaam, nimesikitika sana, kwa sababu nilikuwa najua ninamshukuru sababbu amekiri na kutubu naomba Mungu amsamehe kwa dhambi alizozifanya", amesema Dkt Magufuli.

Awali Kumbilamoto wakati akiomba msamaha aliitaja miradi ambayo yeye kama mpinzani alishiriki kuihujumu ikiwepo ya soko la Kisutu, machinjio ya Vingunguti pamoja na hospitali ya Kivule

"Kabla sijaongea, nichukue fursa hii kwanza kukuomba msamaha wewe binafsi, CCM na wananchi kwa ujumla kwa mabaya tuliyowafanyia wakati tupo upinzani, nisikufiche Mheshimiwa Rais, miradi hii ilikwama kwa maelekezo kwamba tukiifanya sisi kama UKAWA tutakupa kiki ilibidi na sisi tutii, tukakuhujumu", amesema Kumbilamoto.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi