Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Magufuli awashangaa Wazaramo Jokate kutokuolewa

Jumapili , 28th Jun , 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, amewashangaa watani zake Wazaramo kwa kushindwa kumuoa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo ili hali hana Mume.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo.

Rais Magufuli ametoa kauli hiyo leo Juni 28, 2020, alipokuwa akiwahutubiwa wananchi wa Kisarawe mara baada ya kuzinfua mradi wa maji wa Kibamba hadi Kisarawe uliogharimu kiasi cha Shilingi Bilioni 10.6.

"Hata mkuu wa Wilaya wa hapa amefanya kazi nzuri katika kuondoa Zero , hapa kulikuwa na Zero nyingi sana, ninachowashangaa watani zangu Wazaramo hajaolewa, lakini mmeshindwa kumuoa mnamuangalia tu, ndiyo shida ya wazaramo saa zingine mnashindwa mambo" amesema Rais Magufuli.

Aidha Rais Magufuli amempongeza Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo kwa utendaji wake wa kazi, "Nimpongeze Jafo kwa kunisaidia kazi, kijana huyu anajituma sana, mwembamba kwa umbo lakini mambo yake makubwa anazunguka kila mahali, sijasema Mawaziri wengine hawafanyi kazi lakini nipo kwenye jimbo la Kisarawe".

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke