Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Magufuli azindua ujenzi wa 'fly over' Tazara DSM

Jumamosi , 16th Apr , 2016

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameweka jiwe la msingi katika ujenzi wa barabara ya juu (Fly Over) kwenye makutano ya barabara za Mandela na Nyerere eneo la Tazara jijini Dar es salaam.

Ujenzi huo wa barabara hiyo ya juu unatarajia kugharimu kiasi cha shilingi bilioni 100 ambapo inajengwa kwa ushirikiano wa serikali ya Japan na Tanzania ambapo Tanzania ikichangia Bilioni 8.36 na Japan Bilioni 93.44.

Akizungumza katika shughuli hiyo Rais Dkt. Magufuli amewataka raia watakao ajiriwa katika mradi huo wawe waaminifu na kujiepusha na wizi wa mafuta kufanya migomo au wizi wa vifaa vya ujenzi.

Rais pia ametoa shukrani kwa serikali ya Japan kwa kuendelea kuisaidia Tanzania bila kuweka masharti magumu kama walivyo baadhi ya wafadhili.

''Ni bora kula muhogo wa kujitafutia mwenyewe kuliko kula mkate wa masimango'' Amesema Rais Magufuli.

Aidha akitoa salamu za Mkoa wa Dar es salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amemuhakikishia Rais Magufuli kwamba viongozi ambao wapo chini yake wapo tayari kumuunga mkono katika jitihada za kuleta maendeleo ya taifa.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi