Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Magufuli Rais mteule wa Tanzania 2020 - 2025

Ijumaa , 30th Oct , 2020

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage, leo Oktoba 30, 2020, amemtangaza Dkt. John Pombe Joseph Magufuli wa CCM, kuwa mshindi wa kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kupata kura milioni 12,516,252.

Rais mteule wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli

Magufuli ameshinda uchaguzi huo uliofanyika Oktoba 28, 2020 ukijumuisha madiwani na wabunge, ambapo jumla ya majimbo 264 yameshiriki uchaguzi huo.

Mwenyekiti huyo wa Chama Cha Mapinduzi, anaingia katika awamu yake ya pili ya uongozi, baada ya awamu ya kwanza kuanza mwaka 2015 na kumalizika 2020 na sasa ataendelea kwa kipindi cha 2020 hadi 2025.

Jumla ya vyama 15 vilishiriki uchaguzi ngazi ya urais na mpinzani aliyemfuatia Magufuli kwa ni Tundu Lissu wa CHADEMA ambaye amepata kura 1,933,271.

Orodha kamili ya wagombea urais na kura walizopata
1.    Philipo Fumbo (DP) - 8283
2.    Leopold Mahona (NRA) - 80787
3.    John Shibuda (Ada Tadea) - 33,086
4.    Hashim Rungwe (CHAUMMA)-32,878
5.    Queen Sandiga (ADC) - 7627
6.    Seif Maalim Seif (AAFP) - 4635
7.    Twalib Kadege (UPDP) - 6194
8.    Muttamwenga  Mgaywa (SAU) - 14922
9.    Cecilia Mmanga (Makini) - 14556
10.    Khalifan Mazurui (UMD) -3721
11.    Yeremia Maganja (NCCR) - 19969
12.    Profesa Ibrahimu Lipumba (CUF) - 72885
13.    Bernard Membe (ACT) - 81,129
14.    Tundu Lissu (Chadema) - 1,933,271
15.    Dr. John Pombe Magufuli (CCM) - 12,516,252
 

Tazama Video hapo chini akitangazwa

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa