Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Magufuli ashangazwa na mafuriko Mwanza

Jumatatu , 7th Sep , 2020

Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt John Pombe Magufuli, amesema kuwa hakutegemea kama angekutana na umati mkubwa wa watu uliojitokeza katika uwanja wa CCM Kirumba Mwanza kusikiliza sera zake, ambapo amejiona analo deni kubwa la kufanya kazi kwa wakazi wa Jiji hilo.

Mgombea Urais Dkt John Magufuli akizungumza na wakazi wa Jiji la Mwanza.

Magufuli ametoa kauli hiyo hii leo Septemba 7, 2020, na kuwaahidi wana Mwanza wanaokaa milimani kuwa, katika kipindi kijacho hakuna mwananchi yoyote atakayebomolewa nyumba yake na huduma zote zitawafuata huko huko waliko.

"Mapokezi niliyoyapata kuanzia jana katika Mkoa huu wa Mwanza sijawahi kuyaona, sikutegemea kama Uwanja huu wa Kirumba utajaaa, wakati wa mpira watu huwa wanakaa pembeni katikati wanachezea mpira, lakini leo hata pa kuchezea mpira watu wamejaa, pembeni wamejaa na nje wamejaa", amesema Dkt Magufuli.

Akizungumzia suala la nyumba za milimani kubomolewa, Dkt Magufuli amesema, "Mwanza imebadilika sana hata hizi nyumba huko juu hazikuwepo, na katika mipango ya baadaye tunarasimisha hizo nyumba zilizopo huko juu, hakuna mtu akayebomolewa nyumba yake kule juu, Serikali itapeleka huduma zake kule kule juu, kaaeni kwa raha kwanza milimani ndiko kwenye hewa nzuri ya kuvuta".

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali