Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mahabusu kupimwa Corona

Jumapili , 25th Jul , 2021

Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Prof. Abel Makubi amesema muongozo wa kujikinga na Corona unataka mahabusu anayeingia kwa mara ya kwanza gerezani ni lazima apimwe Corona.

Picha ya gereza

Agizo hilo amelitoa leo Julai 25, 2021 ambapo amegusa maeneo mbalimbali ikiwemo miongozo shuleni, daladala, misiba, matamasha ya muziki na michezo.

“Mahabusu wote wanaoingia gerezani kwa mara ya kwanza au mtu aliyehukumiwa lazima apimwe kabla ya kuingia gerezani, lakini pia ndugu watakaokwenda kusalimia magerezani ataingia mmoja mmoja” - Prof. Abel Makubi Katibu Mkuu Wizara ya Afya.  

Kwa upande wa elimu amesema, “Shuleni tumetoa muongozo wanafunzi kuanzia miaka 8 watavaa barakoa endapo hawana magonjwa yanayowazuia kufanya hivyo wale ambao wako chini ya miaka 8 watazingatia taratibu zingine kama kunawa mara kwa mara''- Prof Abel Makubi Katibu Mkuu Wizara ya Afya. 

Aidha kwa upande wa mikusanyiko ya matamasha na michezo Prof Makubi amesema, “Matamasha ya Michezo, Muziki na mengine lazima yapewe vibali, michezo yote ya Mpira tulitoa muongozo tunaomba muongozo ufuatwe ikiwa ni pamoja na kukaa umbali wa mita moja baina ya shabiki na shabiki”- Prof. Abel Makubi Katibu Mkuu Wizara ya Afya.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi