Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mahakama yamwachia huru, mbunge wa CHADEMA

Ijumaa , 10th Aug , 2018

Mahakama ya Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe imewaachia huru mbunge wa Mbozi, Pascal Haonga na wenzake wawili baada ya kukutwa hawana hatia kwenye kesi iliyokuwa ikiwakabili.

Mbunge wa Mbozi, Pascal Haonga ( wa kwanza kulia) akiwa na viongozi wa CHADEMA .

Haonga, Wilfredy Mwalusamba (Katibu wake) na Mashaka Mwampashi walishtakiwa kwa makosa matatu yakiwemo ya kufanya fujo na kuvuruga mkutano wa uchaguzi wa baraz la mji mdogo wa Mlowo na kuwazuia askari katika kutekeleza wajibu wao.

Washtakiwa hao wameachiwa huru baada ya Jamhuri kushindwa kuthibitisha makosa dhidi yao.

Akisoma hukumu hiyo, hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Nemes Chami amesema katika mashtaka yote matatu, upande wa mashitaka umeshindwa kuthibitisha makosa.

 Mbunge huyo na wenzake walidaiwa kutenda kosa hilo, Agosti 28, 2017 .

Tukio la kusomwa hukumu hiyo lilihudhuriwa na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Vicent Mashinji, mwenyekiti wa chama hicho kanda ya Nyasa, mbunge wa Iringa mjini, Mchungaji Peter Msigwa na katibu wake, Emmanuel Mwasonga.

 

 

 

 

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali