Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mahakamani kwa kumbaka aliyemlipia mahari

Ijumaa , 27th Jan , 2023

Samson Masalu (18) amefikishwa katika mahakama ya wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza kwa kosa la ubakaji, kwani amekuwa akimbaka msichana mwenye umri wa miaka 17 na kumsababishia kushindwa kuripoti shule ya sekondari Bujiku Sakila aliyopangiwa kujiunga kidato cha kwanza.

Samson Masalu

Mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi wa mahakama ya wilaya ya Kwimba John Jagadi, Mwendesha Mashtaka wa serikali Robert Mwanakatwe, ameiambia mahakama hiyo kuwa Masalu anadaiwa kuishi na binti huyo tangu Desemba 2022, na kuwalipa wazazi wa binti huyo mahari ya ng’ombe saba hadi tarehe 23 ya mwezi huu wa kwanza polisi walipombaini na kumkamata mwanaume huyo huku wazazi wa binti huyo wakikimbia kusikojulikana.

Aidha Mwendesha Mashtaka huyo wa serikali amesema mshtakiwa huyo anakabiliwa na shtaka la ubakaji kwa mujibu wa kifungu cha 130 kidogo cha pili E na kifungu 131 kidogo cha kwanza cha sheria ya adhabu sura ya 16 marekebisho ya mwaka 2022.

Baada ya kusomewa shtaka lake la ubakaji mshtakiwa huyo amerudishwa rumande katika gereza la wilaya ya Kwimba hadi tarehe sita ya mwezi wa pili mwaka huu shtaka hilo litakapotajwa tena.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri